WAZIRI UMMY MWALIMU ATETA NA MTENDAJI MKUU WA GLOBAL FUND
Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu leo amefanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Global Fund Bw. Peter Sands kuhusu uboreshaji wa huduma za afya nchini kupitia miradi ya Global Fund inayotekelezwa hapa nchini.
Read more